MBUNGE MTEULE GULAMALI APONGEZA MAPOKEZI MAZURI BUNGENI, CHILOMBE ATOA NENO

 Baadhi ya wabunge wateule kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fadhili Chilombe (Tunduru Kusini) na Hussein Gulamali (Ilongelo) wakielezea furaha waliyonayo baada ya kujisajili kuingia kwa mara ya kwanza katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma Novemba 10, 2025.

Wameahidi kuanza mara moja utekelezaji wa ilani na ahadi walizozitoa wakati wa kampeni. Utekelezaji huo utafanywa kwa kushirikiana na wananchi na serikali kwa ujumla.



Fadhili Chilombe (Tunduru Kusini)
Hussein Gulamali (Ilongelo)


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

RAIS SAMIA SIO RAIS JOYCE BANDA WA MALAWI, TANZANIA SIO KENYA

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO

MATOKEO YA DARASA LA 7 YATANGAZWA

JESHI LA POLISI LATEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA, LAONDOA KIZUIZI CHA KUTOTOKA NJE BAADA YA SAA 12 JIONI