WABUNGE WATEULE WAZIDI KUJITOKEZA KUJISAJILI DODOMA

Baadhi ya wabunge wateule wapya na zamani wakijisajili kwenye viwanja vya Bunge tayari  kuhudhuria Bunge la 13 la Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma leo Novemba 10, 2025. Vikao vya Bunge vinaanza kesho ambapo kutakuwa na uapisho wa wabunge na kumchagua Spika na Naibu Spika wa Bunge.


Mbunge Mteule wa Jimbo la Bukoba Mjini Dkt. Jasson Rweikiza (kushoto)
Mbunge mteule wa Simanjiro, James Millya (kushoto).


Mbunge Mteule wa Jimbo la Mchinga, Salma Kikwete (kushoto).


Mbunge Mteule wa Jimbo la Isimani, William Lukuvi (kushoto).

Mbunge Mteule wa Viti Maalumu, Suma Fyandomo.

Mbunge Mteule wa Urambo, Magreth Sitta (kulia


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

RAIS SAMIA SIO RAIS JOYCE BANDA WA MALAWI, TANZANIA SIO KENYA

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO

MATOKEO YA DARASA LA 7 YATANGAZWA

JESHI LA POLISI LATEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA, LAONDOA KIZUIZI CHA KUTOTOKA NJE BAADA YA SAA 12 JIONI