ZUMA AUNGANA NA RAIS TRAORE KUIKONBOA AFRIKA

Rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma ameungana na Rais wa Burkina Faso Kapteni Ibrahim Traoré kwa kile walichokiita Ukombozi wa Afrika kutoka kwa ukoloni mamboleo.

Hii ilidhihirika baada ya Traoré kupokea ujumbe wa Wana-Pan-Africanists unaoongozwa na Rais wa zamani wa Afrika Kusini katika ikulu ya Ouagadougou.

Walijadili ushirikiano wa kiuchumi, usalama wa kikanda, na mapambano ya kudhoofisha ushawishi usiofaa wa kigeni katika nchi za Afrika.

Jacob Zuma, ambaye alitawala Afrika Kusini kuanzia 2009 hadi 2018 na sasa anaongoza chama cha Upinzani cha MK, alisifu mtindo wa Uongozi wa Traoré na maono wazi ya Afrika inayojitegemea na iliyoungana, na kutoa mshikamano wake na kujitolea kuendeleza ajenda ya Pan-Africanist. 



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

RAIS SAMIA SIO RAIS JOYCE BANDA WA MALAWI, TANZANIA SIO KENYA

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO

MATOKEO YA DARASA LA 7 YATANGAZWA