KWELI KUWA MWANAUME KAZI...

 

1.Umasikini unadhalilisha sana.


2.Tengeneza connection zenye kukupa michongo ya pesa.


3.Usikae kijiweni asubuhi bali tafuta kazi ya kufanya.


4.Ukizidiwa omba msaada usaidiwe.


5.Tafuta ujuzi wowote ambao utakuingizia kipato.


6.Ukikuta mwanaume mwenzako analia jaribu hata kumuuliza nini kinamsibu. Mwanaume kulia sio kawaida๐Ÿ˜ง


7.Hudhuria semina, mikutano mbalimbali ili uongeze maarifa 


8.Usitegemee ajira.. ukisubri ajira utakufa ajira bado hujaipata. Fanya kazi usichague sana kazi


9.Ukimaliza kupanga malengo yako mshirikishe mungu ๐Ÿ™

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

Wasifu wa Kizza Besigye

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA

HAKUNA DHEHEBU LA DINI AMBALO LIKO JUU YA LINGINE, MADHEHEBU YOTE YAKO SAWA KISHERIA - RAIS SAMIA