ASKOFU CHANDE AWAKARIBISHA WATANZANIA KATIKA IBADA MAALUMU YA MAOMBI KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2026

Askofu Mkuu Dkt.Evance Chande wa Makanisa ya Karmel Assembilies of God (KAG) anawakaribisha Watanzania katika maombi makubwa na muhimu ya kuliombea Taifa, vijana, wakulima, watoto,wafanyakazi, wafanyabiashara na wanandoa katika ibada itakayofanyka Siku ya kuuaga mwaka 2025 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2026 Januari Mosi katika kanisa hilo lililopo Ipagala, jijini Dodoma.


 

IMENDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA-0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

MATUKIO MBALIMBALI WAKATI WA KUAPISHWA NDEJEMBI KUWA MAKAMU WA RAIS

NI MAKOSA WANAFUNZI KUFIKA SHULE SAA 1:15 ASUBUHI

MAFAO YA MAKAMU WA RAIS ALIYEJIUZULU

URUSI, CHINA, IRANI NA KOREA KASKAZINI WAPANGA KUUNDA JESHI MOJA LA KUJIHAMI

NDEJEMBI KUTOKA MFANYAKAZI WA GSM HADI KUWA MAKAMU WA RAIS