๐—ก๐—จ๐—ž๐—จ๐—จ ๐—ญ๐—œ๐—ก๐—”๐—ญ๐—ข๐—œ๐—ฆ๐—›๐—œ ๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—ญ๐—ข๐—ง๐—จ๐—”๐—–๐—›๐—œ๐—” ๐—ช๐—”๐—ง๐—”๐—ก๐—ญ๐—”๐—ก๐—œ๐—” ๐— ๐—ญ๐—˜๐—˜ ๐—ช๐—” ๐—Ÿ๐—จ๐—ฃ๐—”๐—ฆ๐—ข ๐—›๐—”๐—ฌ๐—”๐—ง๐—œ ๐—•๐—˜๐—ก๐—๐—”๐— ๐—œ๐—ก ๐— ๐—ž๐—”๐—ฃ๐—”.

1. "Rushwa ni adui wa haki, maendeleo na ustawi wa wananchi.”

2. “Uongozi ni dhamana; si fursa ya kujinufaisha.”

3. “Hakuna maendeleo ya kweli bila uwajibikaji na nidhamu ya matumizi ya rasilimali za umma.”

4. “Demokrasia si kelele, bali ni kuheshimiana na kufuata sheria.”

5. “Umaskini hauondoki kwa maneno, unaondoka kwa kazi, nidhamu na mipango thabiti.”

6. “Taifa haliwezi kusonga mbele kama viongozi wake hawako tayari kujitoa muhanga.”

7. “Serikali ina wajibu wa kusimamia haki, lakini wananchi nao wana wajibu wa kulinda maadili.”

8. “Mageuzi ya kiuchumi hayana maana kama hayagusi maisha ya wananchi wa kawaida.”


 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

Wasifu wa Kizza Besigye

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA

HAKUNA DHEHEBU LA DINI AMBALO LIKO JUU YA LINGINE, MADHEHEBU YOTE YAKO SAWA KISHERIA - RAIS SAMIA