TANZANIA YAFUZU 16 BORA AFCON 2025

Timu ya Taifa ya Tanzania imeweka historia kwa kufuzu kwenda hatua ya 16 ya michuano ya kombe la Mataifa Afrika AFCON kama ‘best loser’ ikiwa miongoni mwa timu bora zilizomaliza nafasi ya tatu kwenye makundi yao.


Stars imeungana na Nigeria na Tunisia kwenye hatua ya 16 kutoka Kundi C la AFCON 2025.

FT: Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ 1-1 ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ Tunisia
⚽ 48’ Feitoto
⚽ 43’ Gharbi

FT: Uganda ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ 1-3 ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ Nigeria
๐ŸŸฅ 56’ Magoola
⚽ 75’ Mato
⚽ 28’ Onuachu
⚽ 62’ Onyedika
⚽ 67’ Onyedika


 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

Wasifu wa Kizza Besigye

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA

HAKUNA DHEHEBU LA DINI AMBALO LIKO JUU YA LINGINE, MADHEHEBU YOTE YAKO SAWA KISHERIA - RAIS SAMIA