FILAMU YA ROYAL TOUR YAZAA , RAIS SAMIA ATUZWA JEEP WRANGLER

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akipokea ufunguo wa gari aina ya Jeep Wrangler kutoka kwa Bw. Khalid Al Barwani, lililotumika katika ziara ya Watanzania waishio nchini Oman, ya kuunga mkono juhudi za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan za kutangaza utalii wa Tanzania duniani kupitia filamu ya “Tanzania: The Royal Tour,” Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar, tarehe 22 Januari, 2026. 

___
#KaziNaUtuTunasongaMbele
#KaziIendelee
#TabasamuLaUtu



 

</

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

IJUE HISTORIA YA MCHEZAJI MZUNGU WA TANZANIA