KENANI APOKELEWA KWA KISHINDO IKUNGI MASHARIKI

Maelfu ya wananchi wa Ikungi Mashariki katika Eneo la Puma wakiwa wamekusanyika kwa wingi kwa ajili ya kumpokea, kusikiliza,kueleza kero na changamoto zao kwa Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi CCM Kenani Kihongosi kabla ya kuzungumza nao katika mkutano mkubwa wa hadharani ikiwa leo ni hitimisho la ziara yake ya siku tano Mkoani Singida. @kenanikihongosi @ccmtanzania #KazinaUtuTunasonga #ShinaLakoLinakuita







 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

IJUE HISTORIA YA MCHEZAJI MZUNGU WA TANZANIA