MAREKANI YAITEKA MELI YA MAFUTA YA URUSI IKITOKEA VENEZUERA

 Marekani imeikamata meli ya mafuta ya Urusi iliyokuwa ikitokea nchini Venezuela, ukamataji huo umefanyika pamoja na Urusi awali kuitaka Marekani isifanye ukamataji huo, shirika la habari la Reuters limeripoti jioni hii


Meli hiyo ya mafuta ya Urusi ilikua inasindikizwa na nyambizi ya kivita ya Urusi katika bahari ya Atlantiki, jeshi la Marekani limeikamata na kusema ilikua inajaribu kukwepa vikwazo vilivyowekwa na Marekani kwa meli zote kutoka Venezuela

Ukamataji huu ni mvutano wa moja kwa moja kati ya wababe wa dunia Urusi na Marekani, Urusi ilitoa tamko rasmi kuitaka Marekani isiikamate meli yao ila Marekani kapuuza tamko hilo

Jana rais wa Marekani alisema Marekani ina jeshi imara na  lenye vifaa vya kisasa na silaha hatari kuliko mataifa yote ulimwenguni na hakuna taifa lolote duniani linaloikaribia Marekani hata kidogo kwa teknolojia na nguvu za kijeshi 
Je Urusi itajibu nini?... See more


 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

Wasifu wa Kizza Besigye

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA