MECHI YA ALGERIA VS DR CONGO AFCON ILIKUWA CHINI YA UANGALIZI WA FBI

 

🚨🚨Mechi kati ya Algeria πŸ‡©πŸ‡Ώ na DR Congo πŸ‡¨πŸ‡© kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika juzi usiku ilikuwa chini ya uangalizi wa maagent wa FBI.

Timu rasmi ya FBI imekuwa Morocco kutoka Januari 4–6, 2026, kuchunguza mfumo wa usalama wa nchi hii wakati wa AFCON 2025.

Maagent wa FBI wataangalia usimamizi wa umati, uchunguzi wa viingilio vya viwanja, ushirikiano na polisi wa kimataifa, matumizi ya drones, na mifumo ya juu ya uangalizi wa video (CCTV) kama sehemu ya maandalizi ya Kombe la Dunia la 2026 nchini Marekani. (RMCsport)



Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

Wasifu wa Kizza Besigye

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA