MWANYIKA, GIGA, PARESO WATEULIWA NA CCM KUGOMBEA UENYEKITI WA BUNGE

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) iliyoketi leo Jumapili Januari 25, 2026 Unguja, Zanzibar, imewateua Najma Giga, Deodatus Mwanyika na Cecilia Pareso kugombea nafasi ya wenyeviti wa Bunge.

Tarifa hiyo imetolewa leo Jumapili na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi.
Wagombea hao watashindana na wabunge kutoka vyama vingine vya siasa iwapo watajitokeza.




 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO