TUACHE MIJADALA YA KIDINI ISIYOFAA, ITALIANGAMIZA TAIFA - ASKOFU CHANDE

Askofu Mkuu wa Makanisa ya Karmeli Assembilies of God (KAG) Tanzania, Dkt. Evance Chande amewasihi viongozi wa dini na watanzania kwa ujumla kuacha mijadala ya kidini isiyofaa inayoendelea kwenye mitandao ili Taifa lisije likafikishwa pabaya na hatimaye kuangamizwa.


Askofu Chande ametoa wito huo wa Tahadhari katika ibada maalumu ya kuukaribisha Mwaka Mpya 2026 katika Kanisa la KAG Ipagala jijini Dodoma Januari Mosi, 2026.


Katika Ibada hiyo aliwaombea pia vijana, Wakulima, Wafanyabiashara, Wafanyakazi,Wanafunzi, Watoto na Watanzania wote kwa ujumla.



IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

NI MAKOSA WANAFUNZI KUFIKA SHULE SAA 1:15 ASUBUHI

MAFAO YA MAKAMU WA RAIS ALIYEJIUZULU

VIONGOZI NA WATENDAJI WA MATAWI UVCCM PANGANI WANOLEWA

NMB YAWAUNGANISHA WANANCHI NA HUDUMA, FURSA ZANZIBAR