UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA KWA UPANDE WA TANZANIA WAFIKIA ASILIMIA 79

Muonekano wa visima vinne vya kuhifadhi Mafuta karibu gati ya kuegeshea meli kwa ajili ya kupokelea mafuta eneo la Chongoleani Tanga. Ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa upande wa Tanzania umefikia asilimia 79 na unagharimu dola za Marekani bilioni 5.
 
Mradi huu unakwenda kuleta mabadiliko makubwa ya kiuchumi na kuzalisha ajira za moja kwa moja na zisiizo za moja kwa moja na kuwanufaisha Watanzania kupitia fursa mbalimbali zinazotokana na mradi huo.



 



Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

Wasifu wa Kizza Besigye