Mkaa ni moja kati ya vitu vinavyopuuzwa sana majumbani, wengi wetu huuona una maana pale tu tunapotaka kuwasha moto — hasa kwa wanaotumia jiko la mkaa 
Kama hujawahi kutilia maanani umuhimu wake, basi sasa ndio muda sahihi wa kufanya hivyo.
Hapa kuna faida 29 za mkaa ambazo labda hukuwahi kufahamu: 
---
Weka kipande cha mkaa ndani ya kiatu — mkaa unavuta harufu mbaya. 
Weka vipande vya mkaa sehemu unayohisi harufu inatoka. 
Weka kipande cha mkaa ndani yake — harufu itatoweka. 
Saga mkaa uwe unga na utumie kama dawa ya kupaka au kuoga.
Walikuwa wanazuia harufu mbaya — na ni kweli, husaidia sana. 

Tengeneza maji yenye mkaa (solution) na weka mboga zako humo. 
Weka mboga hizo kwenye maji yenye mkaa usiku mzima — mkaa utatoa sumu hizo.
Weka chakula hicho kwenye maji yenye mkaa kwa saa chache. 
Saga mkaa, tumia kipande cha mgomba kilichopondwa kama mswaki.
Chovya kwenye unga wa mkaa kisha piga mswaki kwa wiki moja — meno yatakuwa meupe. 
Weka kipande cha mkaa ndani wakati unachemsha, harufu na ladha mbaya zitaisha. 
1
Una hangover baada ya pombe usiku?
Tafuna kipande cha mkaa au tengeneza maji yenye mkaa na unywe — inasaidia kuondoa sumu. 
1
Umechanganya vinywaji au chakula vibaya na mwili unauma?
Kunywa maji yenye mkaa — hupunguza madhara ya sumu mwilini.
1
Jeraha limeambukizwa hadi madaktari wanasema likatwe?
Tumia unga wa mkaa mwingi juu ya jeraha — unavuta sumu na kusaidia jeraha kupona haraka.
1
Maji yako yanaonekana machafu au yana sumu?
Weka kipande cha mkaa ndani. Usijali rangi yake — mkaa unasafisha maji vizuri sana kuliko kemikali. 
1
Una chunusi, upele au ngozi yenye matatizo?
Tengeneza uji mzito wa unga wa mkaa, paka usoni au mwilini, acha kwa saa chache kisha oga — ngozi itakuwa safi na nyororo. 
1
Madoa sugu jikoni au bafuni?
Saga mkaa na utumie kusugua sehemu chafu — hutoa madoa haraka kuliko sabuni. 
1
Tumbo limejaa gesi baada ya kula?
Kunywa maji yenye unga wa mkaa — hupunguza kuvimbiwa (bloating).
1
Mkaa husaidia kupunguza cholesterol mbaya mwilini.
Ukinywa mara kwa mara husaidia pia kutibu vidonda vya tumbo (ulcers).
1
Umeumia?
Weka unga wa mkaa juu ya jeraha — husaidia kusafisha na kuzuia maambukizi.
2
Kichwa kinauma?
Kunywa kijiko kimoja cha unga wa mkaa kwenye maji — maumivu hupungua. 
2
Tumbo linauma?
Kunywa kijiko kimoja cha mkaa, maumivu hutoweka ndani ya dakika chache.
2
Kuhara, amiba au majeraha?
Mkaa ni kama antibiotic ya asili — husaidia kuua bakteria na virusi.
Unaweza pia kuweka vipande 2–3 vya mkaa kwenye maji ya kuoga au kunywa kuondoa nguvu hasi mwilini.
2
Hauna choo kwa siku 3 (constipation)?
Tafuna vipande 2–4 vya mkaa — utapata haja siku hiyo hiyo. 
2
Mkaa una uwezo wa kudhoofisha virusi mwilini (vikiwemo vya UKIMWI).
Hauliwi na virusi, bali unavifanya visiwe hatari kwa mwili.
2
Mkaa unatibu migraines (maumivu makali ya kichwa).
2
Chakula kimekuwa na chumvi nyingi?
Weka kipande cha mkaa kwenye chakula — kitavuta chumvi ya ziada. 
2
Umechomeka pilipili mdomoni au machoni?
Tumia mkaa kupunguza ukali wa pilipili. 
2
Unatibu kuharisha kali (diarrhoea).
2
Kwa vidonda vya tumbo (ulcers):
Changanya mkaa na sukari, au kwa usafi wa meno changanya na limao kabla ya kupiga mswaki. 
Jifunze kuitumia badala ya kuiona kama kitu cha kupikia tu!

Comments