DKT. KIKWETE AKABIDHIWA KITABU CHA MWALIMU NYERERE CHA 'JAMHURI NA PLATO'

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akipokea nakala ya kitabu “Jamhuri na Plato” kilichotafsiriwa na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kutoka kwa Bw. Walter Bgoya, Mkurugenzi wa kampuni ya uchapishaji ya Mkuki na Nyota, mwishoni mwa juma jijini Dar es Salaam.

Kitabu hiki, asili yake ikiwa ni The Republic (Politeia) cha mwanafalsafa wa Kigiriki Plato, kinajadili mazungumzo ya Socrates, ambapo Plato anachambua aina za tawala, asili ya nafsi, nadharia ya maumbo na dhana ya mji bora (Kallipolis) unaoongozwa na wanafalsafa-wafalme. 

Tafsiri hii ya Mwalimu Nyerere inaleta fikra hizi karibu na muktadha wa Afrika, ikisisitiza maadili, uongozi wenye hekima na wajibu wa raia katika kujenga jamii bora.


 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

KWA KHERI MAKARANGA UMEUTIMIZA MWENDO...

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA

KIKOSI KILICHOITWA TAIFA STARS HIKI HAPA

UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026

KIJANA WA KINYAKYUSA WA ENZI HIZO, NUSURA AMCHAPE WAZIRI MUONGO BUNGENI

WANAJESHI WAGOMA KWENDA IRAN KUPIGA