Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania (GBT) imetoa sh. mil. 10. 4 kwa Taasisi ya Habari Conservation Organization (HCO) za kusadia upandaji miti 1000 katika eneo la Ndejengwa jijini Dodoma
Katika tukio hilo lililofanyika sanjari na upandaji wa miti hiyo uliofanywa na Mgeni Rasmi, Naibu Meya wa Jiji la Dodoma, Bakari Fundikira, Mkurugenzi Mkuu wa GBT, James Mbalwe, viongozi mbalimbali pamoja na wananchi jirani na mradi huo.
Naibu Meya, Fundikira ameishukuru GBT kwa udhamini huo na kuipongeza HCO kwa kuendelea na jitihahada za kupanda miti katika eneo hilo na kwamba watashirikiana nao kufanikisha lengo hilo la kuijakinisha Dodoma.
Naibu Meya wa Jiji la Dodoma, Bakari Fundikira (kushoto) akiangalia moja ya mabomba yanayotumika kumwagilia miti.
Naibu Meya wa Jiji la Dodoma, Bakari Fundikira akipanda mti.
Viongozi wa HCO wakimwagilia maji mti. Kulia ni Mwenyekiti Benard James na Afisa Habari Loyce.
Loyce akimshukuru Naibu Meya wa Jiji la Dodoma, Bakari Fundikira
Mwenyekiti Bernard akimshukuru Mkurugenzi Mkuu wa GBT, James Mbalwe
Mkurugenzi Mkuu wa GBT, James Mbalwe akipanda mti.
Mkurugenzi wa Uendeshaji wa GBT,
Afisa Habari wa GBT, Felician akipanda mti
Viongozi wa HCO wakishiriki kupanda miti.
Viongozi wa HCO wakiwa na baadhi ya wananchi wanaoshiriki kutunza miti hiyo.

Mkurugenzi Mkuu wa GBT, James Mbalwe akiagwa baada ya shughuli ya upandaji miti kumalizika.Kulia ni Mjumbe wa HCO, Immaculate Ruzika.Mkurugenzi wa Uendeshaji wa GBT,
Kabora Mboya akipanda mti.
Viongozi wa HCO wakishiriki kupanda miti.
Viongozi wa HCO wakiwa na baadhi ya wananchi wanaoshiriki kutunza miti hiyo.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

Comments