ASKOFU CHANDE: KUTETEA AMANI SI UCHAWA

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Karmeli Assemblies of God (KAG), Dkt. Evance Chande amesema kuwa kutetea amani ya Nchi si Uchawa kama inavyodaifa na baadhi ya watu wasioitakia mema Tanzania.

Pamoja na mambo mengine, Dkt. Chande ameyasema hayo alipokuwa akihubiri katika Ibada ya Jumapili katika Kanisa lake lililopo Ipagala, jijini Dodoma Juni 28, 2026.


 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

VIONGOZI BORA BARANI AFRIKA KWA SASA.

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

BALOZI WA CHINA KUPITIA DKT. MAJULE APELEKA NEEMA KWA WANAWAKE DODOMA

SERIKALI YAINGIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO NA DIT KUIMARISHA USIMAMIZI WA MAAFA

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA