(Mipango & Bajeti 2026/27)
Prof Muhongo, Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, ametoa ushauri kwenye ukuaji mkubwa wa uchumi unaondoa umaskini nchini.
Mbunge huyo amependekeza Gesi Asilia na viwanda vyake vichangie asilimia 25 (25%) ya Pato la Taifa na Madini yetu yachangie asilimia 20 (20%) ya Pato la Taifa.
Vilevile, amependekeza kuanzishwa kwa Minerals Sovereign Wealth Fund na Natural Gas & Oil Sovereign Wealth Fund kwa manufaa ya vizazi vijavyo.
Tafadhali msikilize Prof Muhongo kutoka kwenye VIDEO/CLIP iliyoambatanishwa hapa.
Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
www.musomavijijini.or.tz
P. O. Box 6
Musoma
Date: Mon, 15 June 2026
Comments