Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika amezidi kuibana serikali kuhusu maendeleo ya ujenzi unaosuasua wa barabara ya Itoni- Lusitu mkoani Njombe.
Amehoji hilo wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni juni 16, 2026 na kujibiwa na Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

Comments