MWANYIKA AZIDI KUPAMBANIA UJENZI WA BARABARA YA ITONI - LUSITU

Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika amezidi kuibana serikali kuhusu maendeleo ya ujenzi unaosuasua wa barabara ya Itoni- Lusitu mkoani Njombe.


Amehoji hilo wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni juni 16, 2026 na kujibiwa na Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

Wasifu wa Kizza Besigye

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA