BUNGE LAPITISHA SHERIA YA KUWAKOMBOA WAKULIMA WA CHAI

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, Deo Mwanyika akiwasilisha bungeni Dodoma Agosti 27, 2026, maoni ya kamati hiyo kuhusu muswada wa sheria ya marekebisho ya sheria za kilimo likiwemo cha zao la chai wa mwaka 2026, huku Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo akijibu hoja wakati wa kuipitisha sheria hiyo itakayoridhiwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa sheria kamili.


 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

MATUKIO MBALIMBALI WAKATI WA KUAPISHWA NDEJEMBI KUWA MAKAMU WA RAIS

NI MAKOSA WANAFUNZI KUFIKA SHULE SAA 1:15 ASUBUHI

MAFAO YA MAKAMU WA RAIS ALIYEJIUZULU

URUSI, CHINA, IRANI NA KOREA KASKAZINI WAPANGA KUUNDA JESHI MOJA LA KUJIHAMI

NDEJEMBI KUTOKA MFANYAKAZI WA GSM HADI KUWA MAKAMU WA RAIS