NDEJEMBI KUUKWAA UMAKAMU WA RAIS

 Waziri wa Nishati ambaye ni Mbunge wa Chamwino Deogratius Ndejembi, ameteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuwa Makamu wa Rais.


Uteuzi huo umetangazwa leo na Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Asha Rose Migiro wakati akitangaza maazimio ya Kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika jijini Dar es Salaam, mapema Jumatano tarehe 26 Agosti 2026 na kuongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan.



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

NI MAKOSA WANAFUNZI KUFIKA SHULE SAA 1:15 ASUBUHI

VIONGOZI NA WATENDAJI WA MATAWI UVCCM PANGANI WANOLEWA

MAFAO YA MAKAMU WA RAIS ALIYEJIUZULU

NMB YAWAUNGANISHA WANANCHI NA HUDUMA, FURSA ZANZIBAR