Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika amezidi kuibana Serikali bungeni Dodoma Septemba 4, 2026 kwamba inachukua hatua gani za haraka kuwaondolea Wananchi kero inayotokana na kutumia barabara ya Makambako – Songea ambayo imechakaa?
NAIBU WAZIRI WA UJENZI, Godfrey Kasekenya amejibu akama ifuatavyo;
Mheshimiwa Spika, Upembuzi Yakinifu na Usanifu wa Kina kwa ajili ya ukarabati wa barabara ya Makambako – Songea (km 295) umekamilika. Ukarabati wa barabara hii unafanyika kwa awamu kulingana na upatikanaji wa fedha ambapo kwa sasa kazi zinaendelea kwa sehemu ya Songea – Lutukira (km 95). Kwa sehemu zilizobaki za Lutukira – Lwangu (km 100) na Lwangu – Makambako (km 100), Serikali inaendelea kutafuta fedha kwa ajili ya ukarabati.
𝗠𝗮𝗸𝗮𝗯𝗶𝗹𝗮 10 𝗮𝗺𝗯𝗮𝘆𝗼 𝘂𝗸𝗶𝗸𝗮𝗮 𝗸𝗮𝗿𝗶𝗯𝘂 𝗻𝗮𝗼, 𝗸𝘂𝘁𝗼𝗯𝗼𝗮 𝗸𝘂𝗻𝗮𝘄𝗲𝘇𝗮 𝗸𝘂𝘄𝗮 𝗿𝗮𝗵𝗶𝘀𝗶 𝘇𝗮𝗶𝗱𝗶 ⚠️ Kumbuka: Haya ni maoni na mitazamo ya kijamii tu, si kwamba kabila fulani lina mafanikio kuliko lingine. Mafanikio yanategemea juhudi, elimu, nidhamu na fursa. 1. Wasukuma Wana sifa ya kufanya kazi kwa bidii, hasa kwenye kilimo, ufugaji na biashara. Wengi huaminika kuwa wavumilivu katika kutafuta maendeleo. 2. Wachagga Hujulikana kwa moyo wa biashara, uwekezaji na kusaidiana kifamilia katika shughuli za maendeleo. 3. Wahaya Wana historia ndefu ya biashara, elimu na shughuli za uzalishaji zinazochochea maendeleo. 4. Wanyakyusa Wengi wanasifiwa kwa bidii katika biashara, kilimo na uwekezaji wa muda mrefu. 5. Wakinga Hujulikana kwa uchapakazi, nidhamu na uthubutu wa kutafuta fursa sehemu mbalimbali za nchi. 6. Waha Wana sifa ya kujituma katika biashara na shughuli mbalimbali za kiuchumi. 7. Wapare Mara nyingi husifiwa kwa kuthamini elimu, kazi na mipango y...
Comments