MIGUU YA HAJA!


Comments

Mbele said…
Ukweli ni kuwa asilimia kubwa ya wa-Tanzania wakiiona miguu hii watasema inavutia sana. Lakini hawathubutu kukiri hivi wanapoenda kwenye hayo yanayoitwa mashindano ya urembo, ambako mwanamke mwenye miguu kama hii hana nafasi ya kushinda, kwani vigezo ni vya Ulaya.

Wa-Tanzania wanasikitisha kwa ulimbukeni na ukasuku wa akili, jambo ambalo nimelielezea katika kitabu cha CHANGAMOTO.

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

IJUE HISTORIA YA MCHEZAJI MZUNGU WA TANZANIA