MIGUU YA HAJA!


Comments

Mbele said…
Ukweli ni kuwa asilimia kubwa ya wa-Tanzania wakiiona miguu hii watasema inavutia sana. Lakini hawathubutu kukiri hivi wanapoenda kwenye hayo yanayoitwa mashindano ya urembo, ambako mwanamke mwenye miguu kama hii hana nafasi ya kushinda, kwani vigezo ni vya Ulaya.

Wa-Tanzania wanasikitisha kwa ulimbukeni na ukasuku wa akili, jambo ambalo nimelielezea katika kitabu cha CHANGAMOTO.

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO

MATOKEO YA DARASA LA 7 YATANGAZWA