MIGUU YA HAJA!


Comments

Mbele said…
Ukweli ni kuwa asilimia kubwa ya wa-Tanzania wakiiona miguu hii watasema inavutia sana. Lakini hawathubutu kukiri hivi wanapoenda kwenye hayo yanayoitwa mashindano ya urembo, ambako mwanamke mwenye miguu kama hii hana nafasi ya kushinda, kwani vigezo ni vya Ulaya.

Wa-Tanzania wanasikitisha kwa ulimbukeni na ukasuku wa akili, jambo ambalo nimelielezea katika kitabu cha CHANGAMOTO.

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI