MIGUU YA HAJA!


Comments

Mbele said…
Ukweli ni kuwa asilimia kubwa ya wa-Tanzania wakiiona miguu hii watasema inavutia sana. Lakini hawathubutu kukiri hivi wanapoenda kwenye hayo yanayoitwa mashindano ya urembo, ambako mwanamke mwenye miguu kama hii hana nafasi ya kushinda, kwani vigezo ni vya Ulaya.

Wa-Tanzania wanasikitisha kwa ulimbukeni na ukasuku wa akili, jambo ambalo nimelielezea katika kitabu cha CHANGAMOTO.

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

𝗠𝗕𝗢𝗪𝗘 𝗔𝗦𝗜𝗧𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗠𝗔𝗔𝗡𝗗𝗔𝗠𝗔𝗡𝗢 𝗬𝗔 𝗖𝗛𝗔𝗗𝗘𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗥𝗘𝗛𝗘 𝟮𝟯.

KIKOSI CHA CBE KIMEWASILI ZENJI KUVAANA NA YANGA

YANGA YAWASILI SALAMA ETHIOPIA

MAYELE AIMWAGIA SIFA LUKUKI YANGA