KILIMANJARO BIA YAMWAGA VIFAA KWA YANGA,SIMBA

Mkurugenzi wa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (kulia0 akimkabidhi vifaa kiongozi wa Simbaa, wakati wa hafla ya kugawa vifaa kwa timu za Yanga na Simba zinazodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager, katika Ligi Kuu ya Vodacom. Hfla hiyo ilifanyika, Dar es Salaam leo. Katikati ni George Kavishe ambaye ni Meneja wa bia ya Kilimanjaro.

 Kiongozi wa Yanga na Katibu Mkuu wa TFF, Angetile Osiah (kulia) pamoja na viongozi wa TBL, wakiwa na vifaa  vilivyokabidhiwa kwa tinu ya Yanga.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

Wasifu wa Kizza Besigye