KILIMANJARO BIA YAMWAGA VIFAA KWA YANGA,SIMBA

Mkurugenzi wa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (kulia0 akimkabidhi vifaa kiongozi wa Simbaa, wakati wa hafla ya kugawa vifaa kwa timu za Yanga na Simba zinazodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager, katika Ligi Kuu ya Vodacom. Hfla hiyo ilifanyika, Dar es Salaam leo. Katikati ni George Kavishe ambaye ni Meneja wa bia ya Kilimanjaro.

 Kiongozi wa Yanga na Katibu Mkuu wa TFF, Angetile Osiah (kulia) pamoja na viongozi wa TBL, wakiwa na vifaa  vilivyokabidhiwa kwa tinu ya Yanga.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.