POLISI WAKIWALINDA WEZI WA MAFUTA KWENYE LORI LA MAFUTA LILILOPINDUKA IRINGA

Wakazi  wa  Tanangozi  na Ihemi katika  wilaya ya  Iringa  vijijini  wakiwa katika foleni ya  kukinga mafuta  katika  gari  ya kusafirisha  mafuta  yenye  namba T 575 AXH iliyoanguka  na  kumwaga mafuta katika barabara  kuu ya  Iringa -Mbeya  eneo la  Ihemi juzi, huku polisi wakishuhudia bila kuchukua hatua za kuwanusuru endapo mlipuko utatokea.  (picha na Francis Godwin)

                    Baadhi ya akina mama wakiwa kwenye foleni huku wakiwa na watoto mgongoni
                                          Wengine wameamua kukaa kabisa kuiba hayo mafuta

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

TANZANIA YAPANDA VIWANGO VYA FIFA

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO