POLISI WAKIWALINDA WEZI WA MAFUTA KWENYE LORI LA MAFUTA LILILOPINDUKA IRINGA

Wakazi  wa  Tanangozi  na Ihemi katika  wilaya ya  Iringa  vijijini  wakiwa katika foleni ya  kukinga mafuta  katika  gari  ya kusafirisha  mafuta  yenye  namba T 575 AXH iliyoanguka  na  kumwaga mafuta katika barabara  kuu ya  Iringa -Mbeya  eneo la  Ihemi juzi, huku polisi wakishuhudia bila kuchukua hatua za kuwanusuru endapo mlipuko utatokea.  (picha na Francis Godwin)

                    Baadhi ya akina mama wakiwa kwenye foleni huku wakiwa na watoto mgongoni
                                          Wengine wameamua kukaa kabisa kuiba hayo mafuta

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE

MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!

USAJILI ULIVYO HADI SASA....

SPIKA MSTAAFU NDUGAI AFARIKI DUNIA

HUYU NDIYE MWANAMKE WA KUOA

RAIS SAMIA AYATAKA MASHINDANO YA MISS WORLD 2027

MAMBO 7 MUHIMU YA KUYAEPUKA BAADA YA KUACHANA...

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE....