POLISI WAKIWALINDA WEZI WA MAFUTA KWENYE LORI LA MAFUTA LILILOPINDUKA IRINGA

Wakazi  wa  Tanangozi  na Ihemi katika  wilaya ya  Iringa  vijijini  wakiwa katika foleni ya  kukinga mafuta  katika  gari  ya kusafirisha  mafuta  yenye  namba T 575 AXH iliyoanguka  na  kumwaga mafuta katika barabara  kuu ya  Iringa -Mbeya  eneo la  Ihemi juzi, huku polisi wakishuhudia bila kuchukua hatua za kuwanusuru endapo mlipuko utatokea.  (picha na Francis Godwin)

                    Baadhi ya akina mama wakiwa kwenye foleni huku wakiwa na watoto mgongoni
                                          Wengine wameamua kukaa kabisa kuiba hayo mafuta

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

𝙂𝘼𝙈𝙊𝙉𝘿𝙄 𝙆𝘼𝘾𝙃𝙀𝙕𝘼 𝙆𝙄𝘽𝙄𝙉𝙂𝙒𝘼.