POLISI WAKIWALINDA WEZI WA MAFUTA KWENYE LORI LA MAFUTA LILILOPINDUKA IRINGA

Wakazi  wa  Tanangozi  na Ihemi katika  wilaya ya  Iringa  vijijini  wakiwa katika foleni ya  kukinga mafuta  katika  gari  ya kusafirisha  mafuta  yenye  namba T 575 AXH iliyoanguka  na  kumwaga mafuta katika barabara  kuu ya  Iringa -Mbeya  eneo la  Ihemi juzi, huku polisi wakishuhudia bila kuchukua hatua za kuwanusuru endapo mlipuko utatokea.  (picha na Francis Godwin)

                    Baadhi ya akina mama wakiwa kwenye foleni huku wakiwa na watoto mgongoni
                                          Wengine wameamua kukaa kabisa kuiba hayo mafuta

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

Wasifu wa Kizza Besigye

MADAKTARI WALIPAMBANA KWA NGUVU ZOTE KUMNUSURU JENISTA MHAGAMA IKASHINDAKANA- MCHENGERWA