POLISI WAKIWALINDA WEZI WA MAFUTA KWENYE LORI LA MAFUTA LILILOPINDUKA IRINGA

Wakazi  wa  Tanangozi  na Ihemi katika  wilaya ya  Iringa  vijijini  wakiwa katika foleni ya  kukinga mafuta  katika  gari  ya kusafirisha  mafuta  yenye  namba T 575 AXH iliyoanguka  na  kumwaga mafuta katika barabara  kuu ya  Iringa -Mbeya  eneo la  Ihemi juzi, huku polisi wakishuhudia bila kuchukua hatua za kuwanusuru endapo mlipuko utatokea.  (picha na Francis Godwin)

                    Baadhi ya akina mama wakiwa kwenye foleni huku wakiwa na watoto mgongoni
                                          Wengine wameamua kukaa kabisa kuiba hayo mafuta

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

KWA KHERI MAKARANGA UMEUTIMIZA MWENDO...

Wasifu wa Kizza Besigye

KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

KIKOSI KILICHOITWA TAIFA STARS HIKI HAPA

UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026

KIJANA WA KINYAKYUSA WA ENZI HIZO, NUSURA AMCHAPE WAZIRI MUONGO BUNGENI

IRANI ILIJARIBU KUMUUA TRUMP

WANAJESHI WAGOMA KWENDA IRAN KUPIGA