MBUNGE AZZAN ZUNGU AKAMATWA KWA RUSHWA

Habari tulizozipata hivi punde ni kwamba, Mbunge wa Jimbo la Ialala, Dar es Salaam, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Tanzania, Mussa Hassan Zungu na wengine watatu wamekamatwa kwa tuhuma za kujihusisha na rushwa katika Uchaguzi wa Wazazi wa CCM, MJINI Dodoma.

Taarifa hiyo imetolewa na Kamanda wa Takukuru Mkoa wa Dodoma, katika taarifa ya habari ya TBC

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE