MBUNGE AZZAN ZUNGU AKAMATWA KWA RUSHWA

Habari tulizozipata hivi punde ni kwamba, Mbunge wa Jimbo la Ialala, Dar es Salaam, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Tanzania, Mussa Hassan Zungu na wengine watatu wamekamatwa kwa tuhuma za kujihusisha na rushwa katika Uchaguzi wa Wazazi wa CCM, MJINI Dodoma.

Taarifa hiyo imetolewa na Kamanda wa Takukuru Mkoa wa Dodoma, katika taarifa ya habari ya TBC

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI

MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!

HUYU NDIYE MWANAMKE WA KUOA

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.