WAKUU WA WILAYA, WAKUU WA MIKOA KUJIUNGA NA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA


 Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti, Raphael Mwamoto akitoa mada ya utekelezaji wa shughuli za Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya katika kikao kazi cha Wakuu wa Mikoa na Wilaya.
  Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza akichangia jambo katika kikao hicho.
    Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Stella Manyanya akichangia mada katika kikao kazi hicho.
  Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Joseph Simbakalia akitoa mchango wake.
 Washiriki wa kikao kazi hicho wakifuatilia mada ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*