WAKUU WA WILAYA, WAKUU WA MIKOA KUJIUNGA NA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA


 Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti, Raphael Mwamoto akitoa mada ya utekelezaji wa shughuli za Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya katika kikao kazi cha Wakuu wa Mikoa na Wilaya.
  Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza akichangia jambo katika kikao hicho.
    Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Stella Manyanya akichangia mada katika kikao kazi hicho.
  Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Joseph Simbakalia akitoa mchango wake.
 Washiriki wa kikao kazi hicho wakifuatilia mada ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

CHAMA KIPYA CHA WALIMU WAMUOMBA RAIS SAMIA AINGILE KATI MAKATO YA WANACHAMA WAO

TOFAUTI YA WATU WA DAR NA WA MKOANI NI HUU

IBENGE: YANGA SC WATAFUZU HATUA YA ROBO FAINALI.

NOTI MPYA KUANZA KUSAMBAZWA MWEZI UJAO

HUYU NDIYE DKT. NCHIMBI, MAKAMU WA RAIS AJAE

CHAKUHAWATA WANENA MAKUBWA--