PINDA AFUNGUA MAONESHO YA AFYA NA USALAMA DUNIANI

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama onyesho la uokoaji kutoka mwokoaji wa mgodi  wa North Mara Gold Mine katika maonyesho ya kuadhimish Siku ya Afya na Usalama Duniani yaliyofanyiaka kwenye uwanaj wa Shikh Amri Abeid jijini Arisha, Aprili 28,2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama vifaa vya uokoaji katika banda la maonesho ya kuadhimisha  siku ya Afya na Usalama Duniani kwenye  uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha Aprili 28,2013. (Picha na Ofisi yaWaziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea Tuzo

ya Utoaji huduma bora ya   Afya na Usalama kazini

kwa niaba ya  Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa

na Serikali za Mitaa kutoka kw Waziri wa Kazi na

Ajira, Gaundentia Kabaka katika Kilele cha

Maadhimisho ya siku ya Afya na Usalama Duaniani

kwenye uwanja wa Shikh Amri Abeid , Arusha Aprili

28, 20113.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI