Picha Mbalimbali Kutoka Bunge Maalum La Katiba Mjini Dodoma LEO


 Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Profesa Ibrahim Haruna Lipumba(kushoto) na Freeman Mbowe(kulia)  wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma wakati wakielekea katika kikao cha Bunge hilo.
 Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Dkt. Fenella Mukangara(kulia) na Anne Kilango Malechela(kushoto) wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma mara baada ya kuharishwa kwa kikao cha Bunge hilo.
 Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma  na waandishi wa habari kabla ya kikao cha Bunge hilo.
Mwenyekiti wa  Bunge Maalum la Katiba  Samwel Sitta akitoka nje ya Ukumbi wa Bunge mara baada ya kuharishwa kwa kikao cha Bunge hilo leo mjini Dodoma.Picha na Tiganya Vincent, Dodoma.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA