Picha Mbalimbali Kutoka Bunge Maalum La Katiba Mjini Dodoma LEO


 Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Profesa Ibrahim Haruna Lipumba(kushoto) na Freeman Mbowe(kulia)  wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma wakati wakielekea katika kikao cha Bunge hilo.
 Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Dkt. Fenella Mukangara(kulia) na Anne Kilango Malechela(kushoto) wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma mara baada ya kuharishwa kwa kikao cha Bunge hilo.
 Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma  na waandishi wa habari kabla ya kikao cha Bunge hilo.
Mwenyekiti wa  Bunge Maalum la Katiba  Samwel Sitta akitoka nje ya Ukumbi wa Bunge mara baada ya kuharishwa kwa kikao cha Bunge hilo leo mjini Dodoma.Picha na Tiganya Vincent, Dodoma.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

ASANTE GWIJI YAYA TOURE KWA KUPASUA UKWELI UKWELI KUPENDELEWA KWA MOROCCO

Wasifu wa Kizza Besigye

CONFIRMED HAWA NDIO WACHEZAJI WETU 12 WA KIGENI 🦾

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

RAIS WA SENEGAL AWAPATIA ZAWADI NONO WACHEZAJI WALIOFANIKISHA UBINGWA WA AFCON 2025

NYOMI YA WASENEGALI WAKISHANGILIA UBINGWA WA AFCON 2025

TANZANIA YAPANDA VIWANGO VYA FIFA

CCM YAMJIBU BUTIKU CHADEMA KUFUNGIWA