UJERUMANI BINGWA KOMBE LA DUNIA

 

Mabingwa 2014: Nahodha wa Ujerumani, Philipp Lahm (wa pili kulia mbele) akinyanyua kombe la dunia na kushangilia .
On top of the world: Germany celebrate as they lift the iconic trophy at the Maracana
Wachezaji wa Ujerumani wakishangilia baada ya kutwaa kombe la dunia katika dimba la Maracana kwa kuifunga Argentina bao 1-0.
The boss: Germany coach Joachim Low (centre) lifts the World Cup as his players celebrate around him
Big Bosi: Kocha wa Ujerumani, Joachim Low (katikati) akinyanyua Kombe la Dunia

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR