CHATANDA AUNGANA NA WANAWAKE WA TEMEKE KATIKA FAGIA UWANJA KUELEKEA KAMPENI ZA DKT. SAMIA BUZA, LEO

*
Mwenyekiti wa UWT Taifa, Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC), ameungana na wanawake wa Wilaya ya Temeke katika Fagia Uwanja ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea kampeni za Mgombea wa nafasi ya Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, utakaofanyika Oktoba 23, 2025 katika wilaya hiyo

*WANAWAKE WA TEMEKE WAPO TAYARI KUSIKILIZA KAMPENI!*





 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

KIGOGO WA CHADEMA AHAMIA CCM

RAIS SAMIA SIO RAIS JOYCE BANDA WA MALAWI, TANZANIA SIO KENYA

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA