DKT. SAMIA AZIDI KUWATOA HOFU WANANCHI OKTOBA 29


Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tganzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amerudia kuwahakikishia usalama wananchi kwamba vyombo vya Ulinzi na Usalama ndani ya Taifa hili vimejipanga vyema na kwamba amevijengea uwezo wa kutosha, hivyo wasiwe na hfu watoke kwenda kupiga kura Jumatano Oktoba 29.

Ametoa kauli hiyo katika mkutano wa kampeni za CCM Kinyerezi, Ilala jijini Dar es Salaam leo Oktoba 22, 2025.




 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

RAIS SAMIA SIO RAIS JOYCE BANDA WA MALAWI, TANZANIA SIO KENYA

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA