TATIZO LA UJENZI WA BARABARA NI FEDHA, DAWA HII HAPA - PROF. MUHONGO

LEO BUNGENI DODOMA (Wizara ya Ujenzi) Prof Sospeter Muhongo, Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, ametoa ushauri kuhusu vyanzo vya fedha za ujenzi wa barabara nchini mwetu. Mbunge huyo ameongelea ujenzi wa barabara kuu la Jimboni mwao ambalo ni lile la Musoma-Makojo-Busekera (km 92). Barabara hilo liko kwenye Bajeti ya Mwaka 2026/27, na tender tayari imetangazwa. Tafadhali sikiliza mchango wa Prof Muhongo kutoka kwenye Clip/Video iliyoambatanishwa hapa. Ofisi ya Mbunge Jimbo la Musoma Vijijini www.musomavijijini.or.tz P. O. Box 6 Musoma Date: Thu, 21 May 2026

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

TANZIA;.KWA KHERI DADA YETU MPENDWA EDITHA, TASNIA IMEPATA PIGO

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

NATAKA TANZANIA, KENYE NA UGANDA IWE NCHI MOJA, ILI BAHARI YA HINDI IWE YETU SOTE - MUEVENI

RAIS SAMIA AWASILI IRINGA KWENDA MEI MOSI NJOMBE