MBUNGE MUTASINGWA AIKUMBUSHA SERIKALI KUKAMILISHA UJENZI WA BARABARA YA NJIA NNE BUKOBA MJINI


Mbunge wa Bukoba Mjini, Mhandisi Johnstone Mutasingwa ameihoji Serikali bungeni Dodoma Juni 8, 2026, kwamba lini itakamilisha ujenzi wa barabara ya njia nne katika Barabara ya Rwamisenye - Katamu yenye urefu wa Km 1? Na kujibiwa na Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya.

- IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA