AJALI YAUA 10 ARUSHA

Mmoja wa majeruhi akiwahishwa kupata tiba hospitali baada ya Gari la Abiria aina ya Toyota Hiace lenye namba za usajili T 373 BGT linalofanya safari zake katika barabara ya Moshi-Arusha, ambalo limesababisha ajali kwa kugongana na basi la Ngorika linalofanya safari za Arusha- Dar. Watu kumi walifariki katika ajali hiyo. (PICHA NA AMRI MVUNGI).
Wananchi wakiangalia ajali hiyo
Gari la Abiria aina ya Toyota Hiace lenye namba za usajili T 373 BGT linalofanya safari zake katika barabara ya Moshi-Arusha, ambalo limesababisha ajali kwa kugongana na basi la Ngorika linalofanya safari za Arusha- Dar. Watu kumi walifariki katika ajali hiyo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

IJUE HISTORIA YA MCHEZAJI MZUNGU WA TANZANIA