HATIMAYE MR SUGU NA RUGE WA CLOUDS WAPATANISHWA

Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (wa pili kushoto) na Mkurugenzi wa Clouds Media Rugemalila wakipeana mikono leo Dar es Salaam, ikiwa ni ishara ya kupatana kuondoa tofauti zao zilizotokana na sababu za kimuziki zilizodumu kwa miaka miwili. Vijana hao wametanishwa na Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Dk. Emmanuel Nchimbi (kushoto) na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (CHADEMA).
Waziri Nchimbi akizungumza katika mkutano huo
Ruge akizungumza katika mkutano huo na waandishi wa habari
Mbilinyi ('Sugu' akielezea furaha yake baada ya kupatanishwa na Ruge

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

BALOZI NCHIMBI AONGOZA MAPOKEZI YA KATIBU MKUU, MGOMBEA URAIS WA FRELIMO

WAZIRI WA FEDHA AWASILISHA BAJETI YA 2024/2025

DKT NCHIMBI AUNGURUMA KILIMANJARO

PROF NDAKIDEMI AITAKA SERIKALI KUPELEKA VIFAA TIBA URU KUSINI

WANANCHI KIBOSHO WAIOMBA SERIKALI KUWAJENGEA VIVUKO VYA KUDUMU

VIONGOZI WA DINI, ASASI WAJITOKEZA KUTOA MAONI UBORESHAJI KANUNI ZA UCHAGUZI

BALOZI NCHIMBI ATINGA BUNGENI KUSIKILIZA UWASILISHWAJI WA BAJETI