JK ATUYNUKU KAMISHENI KWA MAOFISA WA JESHI MONDULI LEO

 Maofisa wapya wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania kwa cheo cha Luteni Usu wakitembea kwa ukakamavu walipokuwa wakitoa heshima kwa Rais Jakaya Kikwete katika sherehe za kutunukiwa kamisheni maofisa hao, Monduli, mkoani Arusha jana. Na Mpigapicha Wetu
 Rais Jakaya Kikwete akizungumza na Waziri Mkuu wa Mstaafu, Edward Lowassa walipohudhuria sherehe za kutunukiwa kamisheni maofisa wapya wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania kwa cheo cha Luteni Usu, iliyofanyika katika chuo cha jeshi hilo Monduli, mkoani Arusha jana. Na Mpigapicha Wetu

 JK akiwa katika picha ya na maofisa hao  pamoja na viongozi

 Mkuu wa Majeshi, Davis Mwamunyange akimkaribisha Waziri Mkuu wa Zamani, Edward Lowassa alipowasili kwenye sherehe za kutunukiwa kamisheni maofisa wapya wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania kwa cheo cha Luteni Usu, iliyofanyika katika chuo cha jeshi hilo Monduli, Na Mpigapicha Wetu
 Waziri Mkuu wa Zamani, Edward Lowassa (kulia) akizungumza na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Hussen Mwinyi walipohudhuria sherehe za kutunukiwa kamisheni maofisa wapya wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania kwa cheo cha Luteni Usu, iliyofanyika katika chuo cha jeshi hilo Monduli, Na Mpigapicha Wetu
 Maofisa wapya wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania kwa cheo cha Luteni Usu wakila kiapo cha utii mbele ya Rais Jakaya Kikwete baada ya kutunukiwa kamisheni katika chuo cha jeshi hilo Monduli, mkoani Arusha jana. Na Mpigapicha Wetu





Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

BALOZI NCHIMBI AONGOZA MAPOKEZI YA KATIBU MKUU, MGOMBEA URAIS WA FRELIMO

WAZIRI WA FEDHA AWASILISHA BAJETI YA 2024/2025

DKT NCHIMBI AUNGURUMA KILIMANJARO

PROF NDAKIDEMI AITAKA SERIKALI KUPELEKA VIFAA TIBA URU KUSINI

WANANCHI KIBOSHO WAIOMBA SERIKALI KUWAJENGEA VIVUKO VYA KUDUMU

VIONGOZI WA DINI, ASASI WAJITOKEZA KUTOA MAONI UBORESHAJI KANUNI ZA UCHAGUZI

BALOZI NCHIMBI ATINGA BUNGENI KUSIKILIZA UWASILISHWAJI WA BAJETI