MCHAKATO WA KUREJESHWA VINYONGA WETU KUTOKA NJE WAIVA+video



Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja ameelezea mchakato wa mawasiliano na nchi ambako vinyonga vilipelekwa isivyo halali ili warejeshwe nchini. Naibu Waziri Masanja amebainisha hilo, alipokuwa akiuzungumza katika mkutano na wandishi wa habari jijini Dodoma Novemba 30, 2021, kuelezea sekta ya maliasili na utalii ilikotoka, ilipo na inakoelekea pamoja na changamoto na mafanikio kuelekea miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari-MAELEZO, Zamaradi Kawawa (kushoto), akiwa pamoja na maafisa wa Wizara ya Maliasili na Utalii wakati wa mkutano huo.
Wanahabari wakisikiliza wakati Naibu Waziri wa Maliasili na nUtalii, Masanja akizungumza.




Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari-MAELEZO, Zamaradi Kawawa, akihitimisha mkutano huo aliouongoza.
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari-MAELEZO, Zamaradi Kawawa  akipongezana na Naibu Waziri wa  Maliasili na Utalii, Marz Masanja baada ya mkutano kumalizika.

  Naibu Waziri wa  Maliasili na Utalii, Mary Masanja  akiondoka huku akisindikizwa na Zamaradi Kawawa baada ya mkutano kumalizika.


PICHA ZOZE RICHARD MWAIKENDA 

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza  kupitia clip hii ya video, Naibu Waziri  Masanja akielezea mchakato wa vinyonga kurejeshwa nchini...

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

Wasifu wa Kizza Besigye

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

KWA KHERI MAKARANGA UMEUTIMIZA MWENDO...

KWA NINI MAASKOFU JANA KWENYE IBADA YA KUMUAGA PENGO WALIVAA MAVAZI MEUPE WAKATI NI MSIBA..?

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

WANAOTAZAMWA KUMRITHI AYATOLLAH ALLY KHAMENEI.