SHANGWE, VIGELEGELE VYATAWALA MAHAFALI YA 3 YA WAUGUZI, WAKUNGA 1220+video

 

Wauguzi na Wakunga 1220 wakila kiapo huku wakiwa wamewasha mishumaa ikiwa ni ishara ya kuwa na moyo wa upendo wanapotoa huduma kwa wagonjwa na wananchi kwa ujumla katika mahafali yaliyofanyika leo Desemba 8, 2021  jijini Dodoma.
Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania, Bi.  Agnes Mtawa akiwasha mshumaa tayari  kutumika kuwawashia  wahitimu.

Watumishi wa Baraza la Uuguzi na Ukunga wakipiga makofi kwa furaha wakati wa mahafali.
Msajili wa Baraza, Bi. Mtawa akiwawashia mishumaa wahitimu.

Wahitimu wakiwashiana mishumaa.
Wahitimu wakiwa na mishumaa tayari kula kiapo.

                      
 Viongozi meza kuu wakiongoza kula kiapo
Mwenyekiti wa Baraza la Uuguzi na Ukunga, Profesa Lillian Mselle akihutubia  wakati wa mahafali hayo.
Mwenyekiti wa Baraza la Uuguzi na Ukunga, Profesa Lillian Mselle  akiwakabidhi vyeti na leseni wahitimu.

Viongozi meza kuu wakiwa na baadhi ya wahitimu wa uuguzi na ukunga waliofanya vizuri katika mitihani na kukabidhiwa vyeti na leseni.
Baadhi ya wageni waalikwa wakiwa katika picha ya pamoja na  viongozi.
Watumishi wa Baraza wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi.

 PICHA YOTE NA RICHARD MWAIKENDA


Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mwenyekiti Profesa Mselle akihutubia, Msajili Bi. Mtawa akitoa shukrani na wahitimu wakielezea furaha yao baada ya kukabidhiwa vyeti na leseni .....

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 
 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

BINTI WA KITANZANIA GLORIA MAJULE ASHINDA TUZO YA UANDISHI BORA WA FILAMU YA MALARIA MAREKANI ‎