WAZIRI BITEKO ATOA MAAGIZO MAKUBWA AKIZINDUA BODI YA STAMICO+video

 

WAZIRI wa Madini, Dotto Biteko akizindua Bodi ya Shirika la Madini Tanzania (STAMICO) jijini Dodoma Januari 15, 2022 na kuitaka Bodi kutumia koti la uzoefu kuwa chachu ya ubunifu wa kuliendeleza shirika hilo.
Naibu Waziri wa Madini,  Steven Kisurwa akijitambulisha wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Stamico.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Stamico, Meja Jenerali mstaafu Michael Isamuhyo. 

Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Madini Tanzania STAMICO Dkt.Venance Mwasse  akitoa neno la utangulizi kuhusu utendaji wa shirika hilo.

Meneja Masoko wa Stamico, Geofrez Meena (kulia) akiwa na baadhi ya wajumbe wa Bodi na watendaji wa shirika hilo.


PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA


Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video ujue yaliyojiri katika hafla hiyo....
 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 

0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

RAIS SAMIA SIO RAIS JOYCE BANDA WA MALAWI, TANZANIA SIO KENYA

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO

MATOKEO YA DARASA LA 7 YATANGAZWA

JESHI LA POLISI LATEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA, LAONDOA KIZUIZI CHA KUTOTOKA NJE BAADA YA SAA 12 JIONI