WAZIRI BITEKO ATOA MAAGIZO MAKUBWA AKIZINDUA BODI YA STAMICO+video

 

WAZIRI wa Madini, Dotto Biteko akizindua Bodi ya Shirika la Madini Tanzania (STAMICO) jijini Dodoma Januari 15, 2022 na kuitaka Bodi kutumia koti la uzoefu kuwa chachu ya ubunifu wa kuliendeleza shirika hilo.
Naibu Waziri wa Madini,  Steven Kisurwa akijitambulisha wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Stamico.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Stamico, Meja Jenerali mstaafu Michael Isamuhyo. 

Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Madini Tanzania STAMICO Dkt.Venance Mwasse  akitoa neno la utangulizi kuhusu utendaji wa shirika hilo.

Meneja Masoko wa Stamico, Geofrez Meena (kulia) akiwa na baadhi ya wajumbe wa Bodi na watendaji wa shirika hilo.


PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA


Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video ujue yaliyojiri katika hafla hiyo....
 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 

0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

KWA KHERI MAKARANGA UMEUTIMIZA MWENDO...

Wasifu wa Kizza Besigye

KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

KIKOSI KILICHOITWA TAIFA STARS HIKI HAPA

KWA NINI MAASKOFU JANA KWENYE IBADA YA KUMUAGA PENGO WALIVAA MAVAZI MEUPE WAKATI NI MSIBA..?

WANAOTAZAMWA KUMRITHI AYATOLLAH ALLY KHAMENEI.

KIJANA WA KINYAKYUSA WA ENZI HIZO, NUSURA AMCHAPE WAZIRI MUONGO BUNGENI