MAMBO YA BUNGENI DODOMA LEO+video

Baadhi ya wabunge na mawaziri wakiwahi kuingia bungeni Dodoma kwa ajili vikao vya Bajeti MEI 6, 2022. Kutoka kushoto ni Costantino Kanyasu wa Geita Mjini, Bonna Kimoli wa Segerea na Dkt Faustine Ndugulile wa Kigamboni.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza jambo na wabunge kwenye viwanja vya Bunge Dodoma.

Wabunge wakiwa viwanja vya Bunge wakiwahi kuingia bungeni
Mbunge wa Arumeru Mashariki, Profesa John Pallangyo akiwahi kuingia bungeni huku akiwasalimia wanahabari.
Mbunge wa Tabora Kaskazini, Almas Maige
Naibu Waziri  Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Ummy  Nderiananga.
Wabunge wa Viti Maalumu, Halima Mdee na Esther Bulaya

Mbunge wa Mwanga, Joseph Tadayo
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini na Mbunge wa Viti Maalumu, Agnes Marwa.

 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Angeline Mabula (kushoto) akipewa hongera ya siku ya kuzaliwa kwake  na Mbunge wa Viti Maalumu, Sophia Mwakagenda.


PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

Mdau, nakuomba uendelee kuona kupitia clip hii ya video wabunge wakiwahi kuingia bungeni.......


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 

MSIMAMIZI MKUU

 KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG

 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI

MWANDISHI WA HABARI SAGGAF ACHUKUA FOMU ZA UBU/NGE DODOMA MJINI