KISWAGA AWATAKA WATANZANIA KUIFURAHIA BAJETI NI NZURI KWAO+video

  Mbunge wa Jimbo la Kalenga, Iringa, Jackson Kiswaga amesema kuwa Bajeti ya mwaka huu ni nzuri ni mkombozi kwa wakulima.

Aidha amefurahishwa na mapinduzi makubwa kwenye miundombini ambapo barabara nyingi zitajengwa katika jimbo hilo.

Amemshukuru Rais Samia kwa kulipatia jimbo hilo fedha nyingi katika miradi mbalimbali ya maendeleona kuwataka watanzania kuifurahia bajeti hiyo.
Ameyasema leo kwenye viwanja vya bun ge jijini Dodoma mara baada ya mkutano wa Bajeti Kuu ya serikali kumalizika.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Kiswaga akielezea uzuri wa bajeti hiyo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

Wasifu wa Kizza Besigye

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA

HAKUNA DHEHEBU LA DINI AMBALO LIKO JUU YA LINGINE, MADHEHEBU YOTE YAKO SAWA KISHERIA - RAIS SAMIA

MADAKTARI WALIPAMBANA KWA NGUVU ZOTE KUMNUSURU JENISTA MHAGAMA IKASHINDAKANA- MCHENGERWA