KISWAGA AWATAKA WATANZANIA KUIFURAHIA BAJETI NI NZURI KWAO+video

  Mbunge wa Jimbo la Kalenga, Iringa, Jackson Kiswaga amesema kuwa Bajeti ya mwaka huu ni nzuri ni mkombozi kwa wakulima.

Aidha amefurahishwa na mapinduzi makubwa kwenye miundombini ambapo barabara nyingi zitajengwa katika jimbo hilo.

Amemshukuru Rais Samia kwa kulipatia jimbo hilo fedha nyingi katika miradi mbalimbali ya maendeleona kuwataka watanzania kuifurahia bajeti hiyo.
Ameyasema leo kwenye viwanja vya bun ge jijini Dodoma mara baada ya mkutano wa Bajeti Kuu ya serikali kumalizika.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Kiswaga akielezea uzuri wa bajeti hiyo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

KWA KHERI MAKARANGA UMEUTIMIZA MWENDO...

Wasifu wa Kizza Besigye

KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

KIKOSI KILICHOITWA TAIFA STARS HIKI HAPA

KWA NINI MAASKOFU JANA KWENYE IBADA YA KUMUAGA PENGO WALIVAA MAVAZI MEUPE WAKATI NI MSIBA..?

WANAOTAZAMWA KUMRITHI AYATOLLAH ALLY KHAMENEI.

UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026