Bodi ya Ligi Kuu Soka Tanzania Bara, imetangaza orodha ya waamuzi na maofisa watakaosimamia mechi ya Jumamosi Kariakoo Derby baina ya Yanga Sc dhidi ya Simba Sc mchezo utakaopigwa Jumamosi hii Aprili 20,2024
Bodi ya Ligi kuu imemtangaza Ahmed Arajiga kutoka Manyara kuwa mwamuzi wa kati(Referee) akisaidiwa na mwamuzi wa pembeni namba moja Mohamed Mkono kutoka Tanga, mwamuzi namba mbili Kassimu Mpanga kutoka Dar Es Salaam na 4th Official ni Tatu Ma logo kutoka Tanga
Itakumbukwa kuwa Ahmed Arajiga, alichezesha mchezo wa Derby iliyopigwa Novemba 5, 2023 ambapo Simba Sc alipoteza kwa magoli 1-5
#KishambaUPDATES
Comments