KAMATI YA BUNGE YAPIGWA MSASA KUHUSU MAFANIKIO YA MIFUMO YA TAMISEMI


Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Halima Mdee akiendesha kikao cha kupewa uelewa juu ya mafanikio ya mifumo mbalimbali ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) yaliyotolewa na Mkurugenzi wa Tehama, Erick Kitale katika moja ya kumbi za mikutano za Bunge Jijini Dodoma Oktoba 22, 2024. 

Mdee ameitaka Tamisemi kuboresha zaidi baadhi ya mifumo hiyo ili iendane na wakati uliopo.
Kitale akielezea jinsi mifumo hiyo inavyofanya kazi kwa mafanikio.



Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Stanslaus Mabula akiuliza maswali na kutoa ushauri wa jinsi ya kuboresha zaidi mifumo hiyo.

Naibu Waziri wa TAMISEMI, Dk. Festo Ndugange akisikiliza kwa makini maswali na ushauri wa wabunge.

Mbunge wa Lulindi ambaye pia ni mjumbe wa kamati hiyo, Issa Mchungahela akiuliza maswali.
Mbunge wa Iringa Mjini, Dk. Jesca Msambatavangu.
Mbunge wa Kondoa Mjini Ally Makoa.


 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAMBO YANAYOUA NDOA NA MAHUSIANO

RAIS SAMIA ANA KWA ANA NA ZUHURA YUNUS

JINSI YA KUMSAHAU EX WAKO ALIEKUACHA;

USHAURI WA BURE KWA KILA MFANYAKAZI

JINSI BINTI HUYU MWANAFUNZI ANAVYOIPENDA MITI

TAKUKURU YAPONGEZWA KUWA BEGA KWA BEGA NA MBIO ZA SEPESHA ZINAZOPINGA RUSHWA YA NGONO

NDOGO WA MUME WANGU ALIKUWA EX WANGU