Mke wa Mwanamuziki maarufu duniani Neyo awaleta Wanawake Wawili warembo ambao Kazi Yao itakuwa ni kujamiana na mume wake kipindi ambapo atakua ameenda kujifungua au katika kipindi chote ambacho yeye itakua shughuli nzito kukutana na mumewe.
mke huyo anasema hakutaka mume wake aanze kuhangaika na Wanawake wa nje ameamua amletee mwenyewe ili arahisishe mambo.
" Nilimletea Wanawake Wawili ambao ni Sexy sana warembo kweli kweli kipindi hiki Cha ujauzito mpaka siku ntajifungua. Wanawake hao walikuwa wanakuja wakati mume wangu akihitaji tendo kutoka kwangu .
Lakini nilipojifungua na kupumzika vya kutosha Wanawake hao waliondoka na nilifanya hivo kwa sababu sikutaka mume wangu afuate nje Bora nimletee ale mwanamke ambae nimemchunguza ili asilete virusi ndani ya nyumba yangu 😁" alisema mke wa Neyo
Vp wadau hii kwenu imekaaaje ,😂
Comments