"Kwanza kabisa nizungumzie wachezaji wenzangu wa timu ya Taifa. Wengi wanaifahamu Yanga. Kuanzia wachezaji, wakufunzi mpaka mashabiki wanaifahamu na wanaipenda sana timu hii kwakuwa wanajua nacheza hapa.
"Yaani tangu nimejiunga Yanga wamekuwa wakiifatilia sana na hata nikirudi kucheza timu ya Taifa basi wachezaji wenzangu huniuliza kuhusu Yanga na kuniomba Jezi" Maneno ya Golikipa wa Young Africans, Djigui Diarra.
🟩🟨⬛️THIS IS YOUNG AFRICANS SPORTS CLUB 🔥🔥🔥
Comments