ARAJIGA ATEULIWA NA CAF KUCHEZESHA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA AFRIKA


 Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limemteua mwamuzi wa Kitanzania, Ahmed Arajiga, kuwa miongoni mwa waamuzi watakaosimamia mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) kati ya Pyramids FC ya Misri na AS FAR ya nchini Morocco.


Mchezo huo utachezwa Cairo, nchini Misri Aprili 01, mwaka huu.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

RAIS TRUMP ARARUANA NA RAIS WA UKRAINE

MWABUKUSI ATOA NENO SIMBA KUSUSIA DERBY DHIDI YA YANGA

SERIKALI YALIKUBALI OMBI LA DIAMOND

HOSPITALI YA MUHIMBILI YAANZISHA HUDUMA YA KISASA YA KUZIBA MAPENGO

ARAJIGA AULA KOMBE LA DUNIA