CPA MAKALLA, WAJUMBE WA NEC WAPATA MAFUNZO CHINA

 Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM CPA Amos Makalla akiwa na Wajumbe wa NEC CCM  wamehudhuria mafunzo katika Chuo Cha China Executive Leadership Academy (CELAP), Pudong kilichopo Shanghai nchini China. 

 

CPA Makala na Ujumbe wake wamepata wasaha wa kuzungumza na Makamu wa Rais wa Chuo hicho Prof. Yin Hong na baadaye kushiriki naye chakula cha jioni.





Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

RAIS TRUMP ARARUANA NA RAIS WA UKRAINE

MWABUKUSI ATOA NENO SIMBA KUSUSIA DERBY DHIDI YA YANGA

SERIKALI YALIKUBALI OMBI LA DIAMOND

HOSPITALI YA MUHIMBILI YAANZISHA HUDUMA YA KISASA YA KUZIBA MAPENGO

ARAJIGA AULA KOMBE LA DUNIA